KAMA ULIKUWA HUJUI HAWA NDIO WASANII 10 DUNIANI WANAOLIPWA PESA NYINGI KUTOKANA NA MALIPO YA FILAMU

Flexslider

» » » KAMA ULIKUWA HUJUI HAWA NDIO WASANII 10 DUNIANI WANAOLIPWA PESA NYINGI KUTOKANA NA MALIPO YA FILAMU

Forbes imemtaja Robert Downey Jr. the highest-paid actor of the year.


Tangia kutoka kwa MOVIE yake ya Iron Man IMEMPANDISHA chati msanii huyu Robert Downey Jr. na kuanza kuingiza mkwanja mrefu zaidi kushinda wasanii wote huko Hollywood nchini Marekani. Pia msanii huyu licha ya Kuigiza "Iron Man 3" pia ameigiza "The Avengers."  mwaka uliopita. Kwa ufupi msanii huyu allilipwa $50 million katika Movie hiyo mwaka ulipita. kwa Mujibu wa makadirio msanii huyu amekuwa akilipwa Si chini ya Dola Millioni  {$75 million}

2. Channing Tatum: $60 million
Huyu ni mchezaji maruufu sana kwenye ile michezo yetu   "Step Up," Movie alizocheza ni  "Magic Mike" na "21 Jump Street."
3. Hugh Jackman: $55 million
Huyu ni maarufu sana kwa Movi  aliyocheza inaitwa Wolverine.Hivyo movie Hiyo ilimtambulisha Vyema na kumuongezea Mkwanja zaidi............
4. Mark Wahlberg: $52 million
Huyu jamaa nadhani umeshawahi kumuaona katika movie Nyingi sana, Pia ni mchekeshaji alianza na movie moja inaitwa  "Ted" Na baadaye Movie yake ya Mwisho Iliyomwinia zaidi ni "Transformers"  Jamaa anamake Dola millioni 52
Ted movie
Universal


5. Dwayne "The Rock" Johnson: $46 million
Kama kawaida ni mcheza miereka maarufu sana aliyejikita zaidi kwenye upande wa filamu na kumpatia mafanikio zaidi na umaarufu mkubwa. Movie zilizompatia umaarufu mkubwa ni "Journey 2: The Mysterious Island," "Pain and Gain" Na Movie iliyouwa kabisa ni "Fast & Furious 6."
sasa Yuko kazini kuifanya Movie yake mpya inayoitwa"Hercules."
6. Leonardo DiCaprio: $39 million
Da! najua tu watu wengi wanampata huyu jamaa kwa jina jingine ni JACK, najua utakuwa umenipata kama utakuwa umecheki Movie yake ya kwanza TITANIC. Jamaa huyu amecheza Movie nyingi Kama Blood diamond n.k 
7. Adam Sandler: $37 million
Jaamaa aliye upande wa kulia kwako navipaji vingi sana  kwanza ni comedian, maarufu sana pia ni screenwriter, and film producer. Movia iliyompatia Umaarufu sana ni "That's My Boy," kama kaida analipwa Dola Milioni 37 ukimtaka umchezeshe Film yako
adam sandler grown ups 2


8. Tom Cruise: $35 million
Kama kawaida Cruiz amecheza Movie chache lakini zimemfanya awe Ghali kama Mission Imposible n.k
Pia movie yake  "Jack Reacher" Imempandisha chati na kumuweka katika nafansi nzuri zaidi
jack reacher


9. Denzel Washington: $33 million
Muigizaji mkongwe Denzel anafahamika kwa kucheza Movie nyingi Movie iliyompandisha na kupatikana kwa Dola Million 33 Kama ukimuhitaji ni  "Flight
denzel washington flight


10. Liam Neeson: $32 million
Huyu ndiye msanii wa mwisho anayekula Dola Million32 kama ukimuitaji katika Movie yako 
Kama umemuona katika Movie yake ya TAKEN 2
taken 2 liam neeson

Share

You may also like

Aucun commentaire

Leave a Reply

Charte de modération des commentaires sur Buzz Menya.

Vous vous apprêtez à laisser un commentaire sur metronews.fr et nous vous en remercions. Vous entrez dans un espace participatif, de réaction et de discussion. En postant une contribution, vous acceptez de respecter les quelques règles élémentaires de la présente charte de modération.

► Pour faciliter le débat, rédigez des messages lisibles et compréhensibles. Rédiger vos messages en un français correct sera votre meilleur allié pour vous faire entendre. Pas de langage SMS, pas de commentaires en majuscules ou en langue étrangère.

► Évitez les hors sujet.

► Soyez polis et respectueux des autres internautes et de leurs commentaires, quand bien même vous ne partageriez pas leur avis. Essayez d’argumenter pour expliquer votre point de vue mais ne tombez pas dans l’agressivité.

► Les insultes, les attaques personnelles, la vulgarité, ne sont pas permises.

► Tout contenu contraire à la loi est proscrit. Notamment, pas d’incitation à la violence ou à la haine raciale, pas de diffamation, pas de négation des crimes contre l’humanité, ni de justification des actes violents ou des attentats. Par ailleurs, les propos pornographiques ou délibérément choquants ne sont pas autorisés.

► Les propos discriminatoires, sous toutes les formes, sont proscrits.

► La répétition d’un même commentaire, assimilée à du spam, est interdite.

► La publicité est également interdite sur buzzmenya.blogspot.com. Il est inutile d’insérer des liens commerciaux dans vos commentaires, ils seront supprimés par la modération.

► Vous vous engagez à respecter les droits des tiers pour les textes et les images que vous soumettez.

► Avant de publier un contenu, posez-vous la question: "Ai-je les droits nécessaires pour le proposer ?"

► Si le commentaire d'un autre internaute vous paraît contrevenir à cette charte, ne lui répondez pas.

► Utilisez la commande "signaler un commentaire abusif". La modération pourra ainsi être avertie et agir en conséquence.

► Pour protéger votre vie privée, ne donnez pas d'indication personnelle (mail, adresse ou numéro de téléphone) dans un commentaire.

► En cas de litige, vous pouvez contacter la rédaction debuzzmenya.blogspot.com à l'adresse suivante : nadav.junior9@gmail.com

► Tout internaute dont l’attitude contreviendrait à cette charte pourra être passible de bannissement du site.

► Vous pouvez poser des questions aux journalistes de la rédaction dans les commentaires. Dans la mesure du possible, la rédaction de buzzmenya.blogspot.com vous répondra.

► Vous restez entièrement responsable des commentaires que vous soumettez. De son côté, la rédaction de buzzmenya.blogspot.com se réserve le droit de retirer tout commentaire si elle l’estime nécessaire pour la bonne tenue du débat.

► buzzmenya.blogspot.com est seul juge des messages qu’il met ou non en ligne, y compris pour des raisons qui ne seraient pas répertoriées dans la présente charte.

Kuliner